Papa Urban VII

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Urban VII
Remove ads

Papa Urban VII (4 Agosti 152127 Septemba 1590) alikuwa Papa kwa siku chache kuanzia tarehe 15 Septemba 1590 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Thumb
Papa Urbano VII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giambattista Castagna.

Alimfuata Papa Sixtus V akafuatwa na Papa Gregori XIV.

Alipatwa na malaria na kufariki kabla hajavishwa taji la Kipapa.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads