Papa Zephyrinus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Zephyrinus
Remove ads

Papa Zephyrinus alikuwa papa kuanzia takriban 198 hadi kifo chake tarehe 20 Desemba 217/218[1]. Alitokea Roma, Italia.

Thumb
Papa Zefirino.

Alimfuata Papa Vikta I akafuatwa na Papa Kalisto I.

Alipambana na aina mbalimbali za uzushi kutetea umungu wa Yesu Kristo[2].

Pia alitegemeza Wakristo katika dhuluma ya kaisari Setimio Severo (193-211)[3] na kumuagiza shemasi wake Kalisto, mwandamizi wake, atengeneze shamba la Mungu la Kanisa la Roma kwenye barabara Appia[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 20 Desemba[5][6].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads