Papulo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Papulo (kwa Kilatini: Papulus, Pabulus; kwa Kifaransa: Papoul; karne ya 3 - Toulouse, Galia, leo nchini Ufaransa, 300 hivi) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeshirikiana na askofu Saturnini wa Toulouse kuinjilisha eneo la kusini la Ufaransa hadi alipouawa katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads