Pasiensi wa Metz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Pasiensi wa Metz (aliishi katika karne ya 4) alikuwa askofu wa nne wa mji huo (leo nchini Ufaransa)[1]

Inasemekana aliongoza kanisa hilo miaka 14.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Januari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads