Paskasi Radberti

Mwanateolojia wa Ufaransa From Wikipedia, the free encyclopedia

Paskasi Radberti
Remove ads

Paskasi Radberti, O.S.B. (Soissons, leo nchini Ufaransa, 792 hivi - Corbie, leo nchini Ufaransa, 26 Aprili, 865) alikuwa padri mmonaki chini ya kanuni ya Mt. Benedikto[1], maarufu kama mwanateolojia na kwa maandishi yake[2] alipoeleza vizuri imani kuhusu Mwili na Damu ya Kristo katika ekaristi.

Thumb
Sanamu yake.

Papa Gregori VII alimtangaza mtakatifu mwaka 1073.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads