Paterniani wa Fano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Paterniani wa Fano
Remove ads

Paterniani wa Fano (Fano, mkoa wa Marche, nchini Italia, 275 - Fano, 13 Novemba 360) kwa miaka 40 alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo[1].

Thumb
Mt. Paterniani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yao ni tarehe 12 Julai[2] lakini pia 10 Julai, 13 Novemba au 23 Novemba.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads