Paulo Liu Jinde

From Wikipedia, the free encyclopedia

Paulo Liu Jinde
Remove ads

Paulo Liu Jinde (Lanziqiao, 1821 hivi - Lanziqiao, 13 Julai 1900) alikuwa mlei wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia.

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Akiwa mzee, dhuluma yao ilikuwa imemuacha yeye tu kati ya Wakristo wa kijiji chake. Hapo aliwaendea watesi hao akishika mikononi rozari na kitabu cha sala, akawasalimu Kikristo na kwa sababu hiyo aliuawa nao mara moja [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, ila ya kwake mwenyewe tarehe 13 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads