Mlinzi mzamaji

Jenasi ya ndege wadogo wa bahari From Wikipedia, the free encyclopedia

Mlinzi mzamaji
Remove ads
Remove ads

Walinzi wazamaji ni ndege wadogo wa bahari wa jenasi Pelecanoides, jenasi pekee ya familia Pelecanoididae. Wataalamu wengine huwaainisha katika familia Procellariidae (walinzi), lakini walinzi wazamaji ni wadogo kuliko walinzi wengine, wana mabawa mafupi na mirija ya pua inaelekea juu badala ya mbele. Wanatokea bahari za kusini na huzamia kabisa ili kuwakamata gegereka wadogo hasa (krili, kopepodi na amfipodi) na samaki na ngisi wadogo pia. Majike hulitaga yai moja tu ardhini katika makoloni kwenye visiwa vya mbali visipokaa watu wala mamalia wengine. Kwa kawaida huyatembelea makoloni yao usiku kuzuia shakwe-waporaji.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads