Pemba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pemba ni jina linalomaanisha:
- Kisiwa cha Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Tanzania
- Pemba (Tarime) ni kata ya wilaya ya Tarime katika Mkoa wa Mara, Tanzania
- Pemba (Msumbiji) (zamani: "Porto Amelia") ni mji wa mwambao na makao makuu ya mkoa wa Cabo Delgado, Msumbiji
- Wilaya ya Pemba ni wilaya katika Mkoa wa Kusini (Zambia) takriban km 300 kusini kwa Lusaka
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads