Peni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Peni (kutoka Kiingereza "pen") ni kifaa ambacho kimejazwa wino ambao husaidia katika kuandika mambo mbalimbali.

Faida
1. Hutusaidia kumbukumbu, kwa mfano ya masomo
2. hutusaidia kuchora mambo muhimu, kwa mfano ramani za majumba
Hasara
1. Hasara mojawapo ya peni ni pamoja na uchafuzi wa mikono na nguo kutokana na uwekaji mbaya.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
