Peni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Peni
Remove ads

Peni (kutoka Kiingereza "pen") ni kifaa ambacho kimejazwa wino ambao husaidia katika kuandika mambo mbalimbali.

Thumb
Peni

Faida

1. Hutusaidia kumbukumbu, kwa mfano ya masomo

2. hutusaidia kuchora mambo muhimu, kwa mfano ramani za majumba

Hasara

1. Hasara mojawapo ya peni ni pamoja na uchafuzi wa mikono na nguo kutokana na uwekaji mbaya.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads