Petr Čech

From Wikipedia, the free encyclopedia

Petr Čech
Remove ads

Petr Čech (amezaliwa Pilsen, 5 Mei 1982) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini Ucheki, ambaye kwa sasa anaichezea klabu mashuhuri ya mpira wa miguu ya huko Uingereza, maarufu kama Chelsea F.C. na pia timu ya taifa ya Ucheki.

Ukweli wa haraka Jinsia, Nchi ya uraia ...
Ukweli wa haraka Senior career*, Miaka ...
Remove ads

Tuzo

Chelsea F.C.

Mshindi

  • FA Premier League: 2004-05,2005-2006,2009-2010,2014-2015
  • Kombe la FA: 2007, 2009, 2010, 2012
  • FA Community Shield: 2005, 2009
  • Football League Cup: 2005, 2007, 2015
  • UEFA Champions League: 2011-2012
  • UEFA Europa League: 2012-2013

Arsenal F.C.

Mshindi

  • Kombe la FA: 2017
  • FA Community Shield: 2015, 2017
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Petr Čech kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads