Petro Apselamo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Petro Apselamo (pia: Petrus Abselamus, Petrus Absalon, Petrus Balsamus na Petro wa Atroa; Anea, karibu na Eleutheropolis, leo nchini Israeli, karne ya 3 - Kaisarea Baharini, Israeli, 11 Januari 309[1][2]) alikuwa Mkristo aliyefia imani yake kwa kuchomwa moto wakati wa dhuluma ya kaisari Masimino baada ya kukataa mashauri mengi ya kumtaka aokoe ujana wake[3].

Alijulikana kwa nguvu yake kubwa,[4] lakini pia kwa huruma na moyo wa ibada [5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Januari [6][7] au 14 Oktoba. [8].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads