Petro Li Quanhui
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Petro Li Quanhui (Chentuncun, 1837 hivi - Chentuncun, 30 Juni 1900) alikuwa mlei wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa pamoja na mdogo wake Raimundi Li Quanzhen. [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 30 Juni[2].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads