Petro Li Quanhui

From Wikipedia, the free encyclopedia

Petro Li Quanhui
Remove ads

Petro Li Quanhui (Chentuncun, 1837 hivi - Chentuncun, 30 Juni 1900) alikuwa mlei wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa pamoja na mdogo wake Raimundi Li Quanzhen. [1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 30 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads