Raimundi Li Quanzhen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Raimundi Li Quanzhen
Remove ads

Raimundi Li Quanzhen (Chentuncun, 1841 hivi - Chentuncun, 30 Juni 1900) alikuwa mlei wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa pamoja na kaka yake Petro Li Quanhui. Alipopelekwa katika hekalu la dini za jadi, alikataa kuabudu miungu akapigwa hadi kufa [1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 30 Juni[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads