Phalangopsidae

From Wikipedia, the free encyclopedia

Phalangopsidae
Remove ads

Phalangopsidae ni familia ya wadudu wanaofanana na nyenje-ardhi (Gryllidae). Nchini Afrika Kusini huitwa “bell crickets” au nyenje kengele. Inapendekezwa kutumia jina hili angalau kwa spishi za Afrika.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Hii ni moja ya familia kubwa zaidi za nyenje yenye spishi zinazotofautiana sana. Kwa hivyo ni ngumu kutoa maelezo ya jumla ya mofolojia na tabia zao. Spishi nyingi huonekana kuishi katika misitu, huku idadi nzuri zikiishi katika mapango. Wadudu hao hukiakia wakati wa usiku na hula dutu za kioganiki kati ya takataka za majani au takataka nyingine katika kisa cha mapango. Wakati wa mchana hujificha kwenye mashimo. Spishi nyingi hupendelea hali ya unyevunyevu, ingawa spishi nyingine huko Australia na visiwa kadhaa vya Pasifiki huishi katika hali kavu[1].

Remove ads

Spishi za Afrika ya Mashariki

  • Homoeogryllus xanthographus
  • Paragryllodes affinis
  • Paragryllodes amani
  • Paragryllodes borgerti
  • Paragryllodes campanella
  • Paragryllodes dissimilis
  • Paragryllodes kenyanus
  • Paragryllodes minor
  • Paragryllodes pyrrhopterus
  • Paragryllodes silvaepluvialis
  • Paragryllodes unicolor

Picha

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads