Taka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Taka
Remove ads

Taka au takataka (kwa Kiingereza: waste, trash, garbage, rubbish, junk) ni mabaki ya vitu, pia yale yanayobaki baada ya kuzalisha vitu, pamoja na yale yaliyotumiwa tayari na ambayo hayana matumizi tena.

Thumb
Taka zikiwa kwenye shimo.

Takataka ni kila dutu inayotupwa baada ya matumizi yake, au yenye kasoro na kwa hiyo haiwezi kutumika tena. Takataka hutupwa.

Neno

Taka au takataka inamaanisha kiasili uchafu, kinachotupwa, kinachofagiwa, au pia vitu vidogo vya shamba visivyo na thamani kubwa[1].

Aina za takataka

Thumb
Chuchoma taka

Takataka inaweza kutokea kwa hali mango au kiowevu. Gesi chafu kwa kawaida haihesabiki kati ya takataka, isipokuwa gesi iliyobaki katika vyombo pamoja na vyombo vile.

  • Taka ogania
  • Taka metali
  • Taka za plastiki
  • Taka kemia
  • Taka nyuklia

Hasara za taka

Taka zina athari nyingi katika jamii. Athari hizo niː

Hivyo tunashauriwa kutupa taka kwenye mashimo na kisha kuzichoma moto ili zisije zikaleta madhara kwenye jamii.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads