Pia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pia
Remove ads

Pia (Kiing. cone) ni gimba linalopatikana kama nukta zote za duara zinaunganishwa na nukta moja iliyopo juu yake.

Thumb
Pia
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Kwa lugha nyingine pia inapatikana kama pembetatu mraba inazunguka kwenye upande wake mfupi.

Eneo la duara ya msingi ni tako la nia. Umbali kutoka tako hadi ncha yake ni kina cha pia.

Katika jiometria si lazima ya kwamba tako ni duara. Umbo lolote linafaa. Kwa mfano piramidi kijiometria ni aina ya pia yenye tako la poligoni kwa kawaida mraba.

Yaliyomo (=volume) ya pia hukadiriwa kwa njia ifuatayo:

ni theluthi moja ya eneo la tako (=base) lililozidishwa na kina (=height):

Kama pia ina tako la mviringo fomula yake ni

theuthi moja ya pai iliyozidishwa na rediasi mara r mara kina .


Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads