Port Louis
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Port Louis ni mji mkuu wa jamhuri ya Morisi. Ukiwa na wakazi 170,000 ni mji mkubwa wa taifa hilo la visiwani katika Bahari Hindi.



Kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Sir Seewoosagur Ramgoolam kipo km 30 kusini kwa mji. Kutoka Port Louis kuna feri kwenda Saint-Denis, mji mkuu wa Réunion.
Kuna viwanda vya nguo na vitambaa pia vya kemikali na dawa. Benki ziko nyingi. Kwa jumla Port Louis ni mji ambao wenyeji wana hali ya maisha iliyo juu kushinda miji mingine ya Afrika.
Remove ads
Tazama pia
Viungo vya nje
- Ilihifadhiwa 13 Agosti 2007 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Port Louis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads