Port of Spain

From Wikipedia, the free encyclopedia

Port of Spain
Remove ads

Port of Spain ni mji mkuu wa nchi ya Trinidad na Tobago.

Thumb
Port of Spain

Idadi ya wakazi ni watu 49,031; pamoja na sehemu za nje inafika nusu milioni[1]. Ni mji wa tatu kwa ukubwa nchini. Ilikuwa kama mji mkuu wake tangu miaka ya 1700.

Port of Spain ni kitovu muhimu cha biashara katika maeneo ya Karibi, hasa kutokana na bandari yake na soko la hisa.

Kiutamaduni ni mashuhuri kwa kanivali yake.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads