Praha

From Wikipedia, the free encyclopedia

Praha
Remove ads

Praha (pia: Praga, Prague tamka: Prag -Kicheki: Praha) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Ucheki wenye wakazi milioni 1.3(2022)[1].

Thumb
Minara na madaraja ya Praha

Kutokana na uzuri wa majengo yake ya kihistoria imeitwa "mji wa dhahabu" au "mji wa minara 100".

Jiografia

Mji uko kando ya mto Vltava katika Ucheki ya magharibi. Kitovu cha mji kipo katika pindo la mto kati ya vilima viwili. Mji umeenea zaidi hadi nyanda za juu za jirani. Ndani ya eneo la mji kuna visiwa kadhaa mtoni.

Milima ya juu karibu na mji inafikia kimo cha mita 381 na 385.

Picha za Praha

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya Nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads