Prosesi na Martiniani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Prosesi na Martiniani
Remove ads

Prosesi na Martiniani (waliuawa Roma, Italia, 67 hivi) walikuwa Wakristo waliofia imani yao[1].

Thumb
Kifodini cha Wat. Prosesi na Martiniani, mchoro wa Valentin de Boulogne, 1629.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 2 Julai[2] au 11 Aprili.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads