Protadi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Protadi (kwa Kifaransa: Prothade; alifariki Besancon, Ufaransa, 624) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 612 hadi kifo chake[1].

Alijitahidi kudumisha imani sahihi na maadili ya Kanisa, na kwa busara yake aliombwa shauri na mfalme Klotari II mara kadhaa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Februari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads