Rafaeli Guizar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rafaeli Guizar
Remove ads

Rafaeli Guizar (Cotija, Meksiko, 26 Aprili 1878 - Mji wa Meksiko, 6 Juni 1938) alikuwa askofu mkuu wa Veracruz-Jalapa kuanzia mwaka 1919.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Nchi ...
Thumb
Kaburi la Mt. Rafaeli Guízar Valencia huko Jalapa.

Kwa kuwa alijihusisha na vita vya Cristeros aliondolewa jimboni mwake ikambidi aishi na kuendelea na uchungaji wake mafichoni jijini Mji wa Meksiko hadi kifo chake [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 29 Januari 1995, halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Oktoba 2006.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads