Rambati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rambati (pia: Rambert, Ragnebert, Ragnebertus; alifariki karibu na Lyon, Ufaransa, 13 Juni 680) alikuwa mkabaila mwenye maadili ya hali ya juu ambaye alichukiwa na mkuu wa ikulu hata akafungwa na hatimae kuuawa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads