Raphael Chegeni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dr. Raphael Masunga Chegeni (amezaliwa 25 Mei 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Busega kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Kwenye Julai 2022 aliteuliwa na rais Samia Suluhu Hassan kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara[2] lakini baada ya siku tatu uteuzi wake ulitenguliwa[3].
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads