Ripsime na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ripsime na wenzake
Remove ads

Ripsime na wenzake, akiwemo Gayana (walifariki Etchmiadzin, Armenia, 290 hivi) walikuwa mabikira waliofia Ukristo, wa kwanza katika nchi hiyo[1].

Thumb
Kaburi la Mt. Ripsime kanisani.

Inasemekana walikuwa wamehama Roma ili kumsaidia Ripsime asiolewe na kaisari Dioklesyano aliyevutiwa na uzuri wake mkubwa[2].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 29 Septemba[3] au tarehe nyingine kadiri ya madhehebu.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads