Romano Mwimbaji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Romano Mwimbaji
Remove ads

Romano Mwimbaji (Homs au Damasko, Syria, 490 hivi - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 556 hivi) alikuwa shemasi mwenye asili ya Kiyahudi aliyeishi katika monasteri na kutunga tenzi maarufu hadi leo kwa ajili ya Bwana na ya watakatifu wake[1].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Romano (1649).

Ufasaha wa sanaa yake hiyo umemfanya labda bora kati ya watunzi wote wa muziki wa Kikristo[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Oktoba[3].[4]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Matoleo na tafsiri

Uchunguzi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads