Romulo wa Genova

From Wikipedia, the free encyclopedia

Romulo wa Genova
Remove ads

Romulo wa Genova (pia: Romolo, Roeummo, Reumo, Remo; alifariki Sanremo[1], karne ya 5[2] ) anakumbukwa kama askofu wa mji huo (Italia Kaskazini), mwenye ari ya kitume, aliyefariki wakati wa kutembelea watu wa vijijini [3].

Thumb
Mt. Romulo.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Oktoba [4]

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads