Roza Chen Aixie

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roza Chen Aixie
Remove ads

Roza Chen Aixie (Feng, 1878 hivi - Cao, 5 Julai 1900) alikuwa msichana wa China aliyeuawa kwa mikuki pamoja na dada yake Theresia Chen Jinxie ili kulinda ubikira na kupinga ukatili wa Uasi wa Mabondia[1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads