Rustiko wa Clermont

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rustiko wa Clermont
Remove ads

Rustiko wa Clermont (pia: Rotiri[1]; alifariki nchini Ufaransa, 446) alikuwa askofu wa 8 wa mji huo kuanzia mwaka 424 hivi [2]

Thumb
Sanamu yake.

Anavyosimulia Gregori wa Tours, alipochaguliwa padri huyo kuwa askofu, umati wa waumini ulishangilia [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Septemba[4].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads