Rustiko wa Paris
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rustiko wa Paris alikuwa Mkristo wa karne ya 3.

Akiwa shemasi huko Paris (Ufaransa) aliuawa pamoja na askofu Denis na padri Eleutherius kwa kukatwa kichwa kwa sababu ya imani yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads