Rustiko wa Paris

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rustiko wa Paris
Remove ads

Rustiko wa Paris alikuwa Mkristo wa karne ya 3.

Thumb
Kifodini cha Mt. Denis na wenzake, Basilika la Mt. Denis.

Akiwa shemasi huko Paris (Ufaransa) aliuawa pamoja na askofu Denis na padri Eleutherius kwa kukatwa kichwa kwa sababu ya imani yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Oktoba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads