Sabah

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sabah
Remove ads

Sabah ni jimbo mojawapo kati ya 13 yanayounda shirikisho la Malaysia; liko kaskazini mwa kisiwa cha Borneo pamoja na jimbo la Sarawak, wakati majimbo mengine yote yako Asia bara.

Thumb
Sehemu ya Jimbo la Sabah

Mji mkuu ni Kota Kinabalu.

Hakuna kabila kubwa lenye watu zaidi ya asilimia 50 katika eneo lote.

Upande wa dini, serikali imechangia sana uenezi wa Uislamu hata ukatangazwa dini rasmi.

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads