Sarawak

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sarawak
Remove ads

Sarawak ni jimbo mojawapo kati ya 13 yanayounda shirikisho la Malaysia; liko kaskazini mwa kisiwa cha Borneo pamoja na jimbo la Sabah, wakati majimbo mengine yote yako Asia bara.

Thumb
Maporomoko ya maji ndani ya mji wa Sarawak
Ukweli wa haraka


Mji mkuu ni Kuching wenye wakazi 579,900.

Miji mingine mikubwa zaidi ni Sibu (wakazi 254,000), Miri (Wakazi 263,000) na Bintulu (wakazi 176,800).

Hakuna dini wala kabila kubwa lenye watu zaidi ya asilimia 50 katika eneo lote.

Remove ads

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads