Santino wa Verdun

From Wikipedia, the free encyclopedia

Santino wa Verdun
Remove ads

Santino wa Verdun (270 hivi - Verdun, Galia Kaskazini, leo Ufaransa, 356) alikuwa mwinjilishaji na askofu wa kwanza wa jimbo la Meaux na la mji huo[1].

Thumb
Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Oktoba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads