Santino wa Verdun
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Santino wa Verdun (270 hivi - Verdun, Galia Kaskazini, leo Ufaransa, 356) alikuwa mwinjilishaji na askofu wa kwanza wa jimbo la Meaux na la mji huo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads