Sara Sidner

Mwandishi wa habari Nchini Marekani. From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads


Sara Sidner (alizaliwa Mei 31, 1972) ni mwandishi wa habari nchini Marekani. Mwandishi wa kimataifa CNN katika ofisi ya CNN huko Los Angeles.[1][2]

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...
Remove ads

Kazi

Sidner alianza kazi yake ya kuripoti habari katika WUFT TV huko Gainesville, Florida. Hii ilifuatiwa na kipindi katika KFVS-TV huko Cape Girardeau, Missouri, WINK-TV katika Fort Myers,la Florida, na KDFW-TV huko Dallas, Texas. Katika KDFW, alitumikia miaka mitatu kama mwandishi. Mnamo Januari 2004, Sidner alijiunga na KTVU, Oakland, California ambapo alifanya kazi katika vipindi vya mwaisho wa wiki katika chaneli ya KTVU katika kipindi cha habari za saa 6 na saa 10:00. Pia aliwahi kuwa mwandishi wa siku ya wiki kwa kituo hicho.

Remove ads

Tuzo

Sidner amepata tuzo mbalimbali kama mwandishi bora wa habari. Tuzo hizo ni pamoja na Emmy Award, Lone Star Award, na Associated Press Awards.

Viungo vya Nje

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads