Missouri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Missouri ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Jefferson City na Kansas City ni mji mkubwa. Imepakana na Iowa, Illinois, Kentucky, Tennessee, Arkansas, Oklahoma, Kansas na Nebraska. Jimbo lina wakazi wapatao 5,911,605 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 180,533.
Upande wa mashariki kuna wa Mto Mississippi. Mto Missouri inaendelea kupita jimbo ya Missouri.
Kiingereza ni lugha rasmi.
Miji muhimu baada ya Kansas City ni Saint Louis, Columbia na Springfield.

Remove ads
Viungo vya Nje
- (Kiingereza) State of Missouri Official Website
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Missouri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads