Sardi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sardi (kwa Kilidia: 𐤳𐤱𐤠𐤭, Sfar; kwa Kigiriki Σάρδεις, Sárdeis) ulikuwa mji kwa walau miaka 3,500[1], maarufu hasa kama mji mkuu wa Dola la Lidia.

Baadaye ukawa mji mkuu wa mkoa wa Lydia chini ya Waajemi[1](pp1120–1122)[2], tena mji muhimu wa ustaarabu wa Kigiriki na wa Kibizanti.

Tangu karne ya 1 kulikuwa na jumuia ya Kikristo iliyoandikiwa barua katika kitabu cha Ufunuo (3:1-6).

Baada ya kuangamizwa na Timur mwaka 1402, yamebaki maghofu tu katika nchi ya Uturuki, mkoa wa Manisa karibu na mji wa Sart.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads