Sekardo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sekardo
Remove ads

Sekardo (kwa Kiitalia: Ceccardo; alifariki Carrara, Toscana, Italia, 860 au 892) alikuwa askofu wa Luni aliyeuawa na mafundi wa kukata miamba [1].

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Carrara.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Juni[2][3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads