Sensuri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sensuri (kwa Kifaransa: Censure; alifariki Auxerre, leo nchini Ufaransa, 502 hivi) alikuwa askofu wa 8 wa mji huo kuanzia mwaka 472 hadi kifo chake[1][2][3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads