Sesili wa Karthago

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sesili wa Karthago (jina lake kamili kwa Kilatini lilikuwa Caecilianus[1]) alikuwa padri wa mji huo (katika eneo la Tunisia ya leo) katika karne ya 3.

Mtu mwadilifu, ni maarufu hasa kwa kumsaidia Sipriani kuongokea Ukristo (245) [2].

Kabla hajafa, Sesili alimkabidhi Sipriani kazi ya kutunza mke na watoto wake.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni[3][4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads