Seun Kuti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Seun Kuti
Remove ads

Oluseun Anikulapo Kuti (akijulikana pia kama Seun Kuti, alizaliwa 11 Januari 1983) ni mwanamuziki wa Nigeria, mwimbaji na mtoto wa mwisho wa mwanzilishi wa Afrobeat Fela Kuti.[1][2]

Thumb
Picha ya Seun kuti


Maisha ya awali na elimu

Mwana wa mwisho wa Fela Kuti, Seun Kuti alizaliwa mwaka 1983. Alianza kuonyesha shauku ya muziki akiwa na umri wa miaka mitano, na kufikia umri wa miaka tisa, tayari alikuwa anapiga muziki na bendi ya baba yake, Egypt 80.[3]

Akifuata nyayo za baba yake, Kuti alisomea muziki katika chuo cha Liverpool Institute for Performing Arts. Wakati wa masomo yake pale, alijiunga na bendi ya African Funk inayojulikana kama River Niger.[4][5]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads