Sevastopol

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sevastopol
Remove ads

Sevastopol (kwa Kiukraina na Kirusi: Севастополь) ni mji wa Ukraine kusini uliotekwa na Urusi mwaka 2014 lakini uvamizi huu haujakubalika kimataifa. Una wakazi 416,263. Sevastopol iko kwenye rasi ya Krim (Crimea). Ni bandari muhimu kwenye Bahari Nyeusi.

Thumb
Sevastopol

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sevastopol kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads