Sfax

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sfax ni mji mkuu wa wilaya ya Sfax huko Tunisia.

Mwaka 2014 ulikuwa na idadi ya wakazi takribani 330,440[1]. Hivyo ni mji wa pili kwa ukubwa nchini Tunisia, na upo kilomita 270 kutoka mji mkuu Tunisi.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads