Shorobo uzuri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Shorobo uzuri (Musophaga rossae) ni ndege wa Afrika wa rangi ya buluu wa familia ya Musophagidae.
Spishi hii hupatikana katika nchi za Angola, Botswana, Burundi, Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Gabon, Kenya, Rwanda, Sudan, Tanzania, Uganda na Zambia.
Ndege hawa hupatikana sana wakifugwa.
Remove ads
Picha
Tanbihi
- Tanzaniabirds.net: Ross's turaco
![]() |
Makala hii kuhusu ndege fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Shorobo uzuri kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads