Siegen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Siegen
Remove ads

Siegen ni mji wa Rhine Kaskazini-Westfalia nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Sieg. Idadi ya wakazi wake ni takriban 103,984. Mji ulianzishwa 1079.

Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Kitovu cha mji wa Siegen
Thumb
Chuo Kikuu cha Siegen
Remove ads

Usafiri

Kuna vituo vya reli vinne huko Siegen:

Siegen kituo kikuu (Siegen Hauptbahnhof), Siegen Weidenau, Siegen Geisweid na Freusburg-Siedlung.

Kituoni cha Siegen Hauptbahnhof kuna huduma za treni za eneo ya Abellio (Siegen -Hagen), ya DB (RE9 Aachen - Köln - Siegen) na RB90 (Limburg - Siegen), RB93 (Betzdorf - Siegen - Bad Berleburg) na RB95 (Dillenburg - Siegen) ya HLB, Dreilaenderbahn.

Tazama pia

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Siegen kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads