Sigibaldi

askofu wa Sigibald From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sigibaldi (pia: Sigibald, Sigebaud; karne ya 7 - 741) alikuwa askofu wa thelathini na nne wa Metz (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 716.[1]

Alianzisha monasteri mbalimbali [2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Oktoba[4]

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads