Simoni wa Mercurion

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Simoni wa Mercurion (alifariki kwenye mlima huo, mkoa wa Calabria, karne ya 10 BK) anakumbukwa kama mmonaki wa Ukristo wa Mashariki aliyetumwa Afrika kukomboa wenzake waliotekwa na Waislamu kama watumwa.

Baada ya kufanikisha zoezi hilo, aliishi kama mkaapweke hadi kifo chake. [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Novemba[3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads