Simplisi wa Autun

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Simplisi wa Autun (alifariki Autun, leo nchini Ufaransa, 375 hivi) alikuwa mkabaila aliyechaguliwa kuwa askofu wa mji huo [1] baada ya kuishi katika ndoa bila kufanya tendo la ndoa na mke wake mwadilifu sana [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3].

Sikukuu yake ni tarehe 24 Juni[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads