Sisenandi
shemasi wa Cordoba aliyekatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kwa sababu ya imani yake ya Kikristo From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sisenandi (Beja, Ureno, au Badajoz, Extremadura - Cordoba, Hispania, 851) alikuwa shemasi wa Cordoba aliyekatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kwa sababu ya imani yake ya Kikristo [1].
Taarifa zake ziliandikwa na Eulogi wa Kordoba[2] [3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads