Sisoi Mkuu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sisoi Mkuu
Remove ads

Sisoi Mkuu (au Sisoes; alifariki 429 hivi) alikuwa mkaapweke wa Misri[1] maarufu kwa misemo yake iliyoripotiwa katika Apophthegmata Patrum (Misemo ya Mababa wa Jangwani)[2].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Sisoi Mkuu kwenye kaburi la Aleksanda Mkuu.

Misemo hiyo ilikusanywa taratibu ili kudumisha hekima yao nyofu. Kuna pia tafsiri ya Kiswahili: Misemo ya Mababa wa Jangwani (Apophthegmata Patrum) – tafsiri ya W. Ngowi, O.F.M.Cap. – ed. Salvatorianum – Morogoro 2000ISBN 0-264-66350-0

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Julai[3][4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads